Bomu lalipuka nje ya ikulu ya rais Yemen


Bomu limelipuka nje ya ikulu ya rais wa Yemen, katika mji mkuu, Sanaa, mji ambao sasa unadhibitiwa na wapiganaji wa madhehubu ya Shia, wa Houthi
Inaarifiwa kuwa waasi wawili wa Houthi walijeruhiwa.
Wapiganaji wa Houthi
Hapo jana wapiganaji hao walilivunja bunge kabla ya kudhibiti madaraka.
Sasa wapiganaji hao wamebuni halmashauri ya usalama kuongoza nchi hadi bunge la muda litakapoundwa.
Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa limesema kuwa liko tayari kuchukua hatua zaidi, iwapo wapiganaji hao hawatarudi haraka kwenye mazungumzo, kuhusu kipindi cha mpito cha kuelekea kwenye demokrasi.
Baraza jiiya limewataka wapiganaji wamuachilie huru rais wa Yemen, waziri mkuu, na baraza la mawaziri kutoka kifungo cha nyu-bbc

Maoni

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

HADITHI:MWALIMU MAGDALENA sehemu ya 1

Hadithi: Mwalimu Magdalena sehemu ya 5

Hadithi: Mwalimu Magdalena sehemu ya 4