Mme amkata mke mikono kwa kumnyima unyumba

Akizungumza na gazeti hilo katika Hospital ya Mkoa wa Maweni alipo lazwa kwaajili ya matibabu Jasmini alidai kuwa mume wake Kakulu alimtendea tukio hilo Usiku wa oktoba 29 mwaka huu.
Gazeti la MTANZANIANOV 03 limeripoti.
Maoni
Chapisha Maoni