Kala kuizindua Usikate Tamaa

https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgKuVE8BsC89AUuHxOExwlPTWzKm_0T9MF1HMkeHqscq8Ckgv25nEsy_cpRe48qgPJ7UYCl7eEFE8zJZANzbBnapNyXOkUEhC0zZmwaU8R3TJXOw1mqqyzrZTJydajg4qxjJmDuD3ueGhde/s1600/KALAJEREMIAH+KALA+JEREMIA.jpg 
Mkali wa muziki wa Hip Hop nchini, Kala Jeremiah Masanja anatarajiwa kuzindua video ya wimbo wake mpya utakaokwenda kwa jina la ‘Usikate Tamaa’, utakaofanyika Jumapili hii kwende Ukumbi wa New maisha Club.
Kala amesema audio na video ya wimbo huo aliomshirikisha msanii Nuruwell, vitasikika na kuonekana kwa mara ya kwanza siku hiyo kwa mashabiki watakaohudhulia kwenye uzinduzi huo.
Amesema uzinduzi huo pia utasindikizwa na wasanii Mo Music, Stamina, Ben Pol, Ney Lee pamoja na Nuruwell.
“Mashabiki watakaofika siku hiyo ndiyo watakaokuwa wa kwanza kuusikia na kuuona wimbo huo ambao ndio utakuwa unazinduliwa rasmi."

Maoni

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

HADITHI:MWALIMU MAGDALENA sehemu ya 1

Hadithi: Mwalimu Magdalena sehemu ya 5

Hadithi: Mwalimu Magdalena sehemu ya 4