Auwawa kwa kupigwa Risasi
Akizungumza
na waandishi wa habari jana, Kamanda Polisi Mkoa wa Katavi,Dhahiri Kidavashari
alisema tukio hilo lilitokea juzi saa mbili usiku.
Alisema
kabla ya tukio hilo, marehemu alikuwa kinywa pombe katika baa inayomilikiwa na Mussa Juma.
Alisema
mtu asiyefahamika alifika hapo na
kufyatua risasi mbili zilizompiga marehemu
kifuani na kichwani.
Alisema
katika tukio hilo,James Omar(30) mkazi
wa kijij cha Itenka alijeruhiwa kwa kupigwa
na risasi eneo la kiunoni.
Alisema
majirani wa eneo hilo, walifika eneo hilo kwa lengo la kutow
msaada hata hivyo walikuta muhusika aliyafanya tukio hilo, ametoweka.
Chanzo cha
tukio hilo bado halijajulikana na hakuna mtu aliyekamatwa.
Kamanda
Kidavashari,alisema polisi wanaendelea na msako
dhidi ya watu waliohusika.
Maoni
Chapisha Maoni