Mugabe mwenyekiti mpya wa SADC
Rais Robert Mugabe wa Zimbabwe
Mkutano wa kilele wa Jumuiya ya Maendeleo ya Kusini mwa Afrika, SADC, uliomalizika nchini Zimbabwe, umemchagua Rais Robert Mugabe, kuwa mwenyekiti mpya wa jumuiya hiyo akichukua nafasi ya Rais Peter Mutharika wa Malawi.
Maoni
Chapisha Maoni