ISMAIL ADEN RAGE APATA AJALI, GARI LAKE NYANG'ANYANG'A

https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEijksOKWW6BzcMpkcF3crvJYr-_UdaFE3tuaZI6agOfydSWgsaai2F_XnbS0LnH4xX6WkrAMueXkVcfnc0WH4_Qw-Q0-253J429ouolkFnOPSNeHs9fRHlwZPA9Yg2smIUjLsv7a5abDV3T/s1600/RAGE+AJALI.jpgRAGE (MWENYE SURUALI NA SHATI JEUPE) MARA TU BAADA YA AJALI TU YA GARI. HAPA INAONEKANA BAADHI YA WASAMALIA WEMA WAKIMSAIDIA MARA BAADA YA KUMTOA KWENYE GARI LILILOPINDUKA.Aliyekuwa Mwenyekiti wa Simba, Ismail Aden Rage amepata ajali leo katika eneo la Bahi mkoani Dodoma.            
Mara baada ya gari lake aina ya Toyota Land Cruiser V8 kuanguka, Rage alifanikiwa kutoka salama ndani ya gari hilo.
 

Rage ambaye ni Mbunge wa Tabora Mjini amepata ajali hiyo wakati akiwa njiani kutoka jimboni kwake kwenda Dodoma.
Habari za uhakika zinaeleza Rage anaendelea vizuri licha ya kuwa na taarifa kwamba hali ya si nzuri.-Chanzo SALEHE jembe

Maoni

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

HADITHI:MWALIMU MAGDALENA sehemu ya 1

Hadithi: Mwalimu Magdalena sehemu ya 5

Hadithi: Mwalimu Magdalena sehemu ya 4